JamiiPirikapirika za maandalizi ya Siku Kuu ya Eid-ul-Adha Mombasa03:09This browser does not support the video element.Jamii19.07.202119 Julai 2021Mjini Mombasa, pwani ya Kenya maandalizi ya siku kuu ya Iddi yameanza. Katika soko la mifugo la Kikowani shughuli za kawaida zinaendelea huku wateja wakiendelea kujitokeza kununua mbuzi kwajili ya kuchinja wakati wa iddi. TodayNakili kiunganishiMatangazo