1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Poland kurejesha nyumbani wanajeshi wake kutoka Irak

23 Novemba 2007

Poland inatazamia kuwarejesha nyumbani wanajeshi wake wote 900 kutoka Irak ifikapo mwisho wa mwaka 2008.Waziri Mkuu mpya wa Poland Donald Tusk, alitamaka hayo leo hii,alipohotubia Bunge la Poland kwa mara ya kwanza tangu kushika wadhifa wake.Akaongezea kuwa wanajeshi 1,200 waliopo Afghanistan watabakia huko.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW