1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi 5 wauwawa Irak

9 Septemba 2007

BAGHDAD

Taarifa kutoka Baghdad,nchini Irak zinasema kwamba wapiganaji kadhaa waliokuwa na bunduki walihujumu kituo cha polisi katika kijiji kinachokaliwa mno na waumini wa madhehebu ya Sunni huko kaskazini mwa Irak hii leo na kuua askari 5 kabla hawakutimuliwa kwa msaada wa wakaazi wa huko.Washambulizi waliendesha mgari 10 kutoka magharibi mwa Irak hadi kwenye kijiji hicho cha Hajaj na kufyatua risasi katika kituo hicho cha polisi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW