1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi Kenya yazuia maandamano ya upinzani

01:59

This browser does not support the video element.

Hawa Bihoga
19 Julai 2023

Polisi nchini Kenya imetumia gesi ya kutoa machozi na kuweka doria katika maeneo tete kuzuia maandamano yalioitishwa na kiongozi wa upinzani na mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa nchini humo Raila Odinga. Watu kadhaa wamekamatwa huku makundi ya kutetea haki za binadamu yakilaani matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanji.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW