1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi: Ulinzi Zanzibar ni imara

Elizabeth Shoo21 Oktoba 2015

Siku tatu kabla ya uchaguzi mkuu, Kamishna wa Polisi wa Zanzibar, Hamdani Omar, amewahakikishia wananchi kwamba jeshi lake limejipanga kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao.

Sansibar Ziwani Polizei Chef Hamdan Omar
Picha: DW/M. Khelef

Aidha, kamishna huyo amewahakikishia raia kwamba hakuna mtu atakayedhuriwa na makundi yaliyokuwa yameibuka katika siku za uandikishaji wapigakura.

Sikiliza mahojiano kati ya Mohammed Khelef na Kamishna Hamdani akiwa ofisini kwake, Ziwani mjini Zanzibar, ambapo kwanza anazungumzia namna jeshi hilo lilivyojipanga.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW