1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi anayetumia muziki kuhamasisha sheria za barabarani

01:32

This browser does not support the video element.

12 Julai 2024

Maisha ya vijana wa Tanzania yanapotea kutokana na ajali za barabarani kila mwaka. Afisa polisi wa barabarani Gabriel Simon Kayaga ameamua kutumia kipaji chake cha muziki wa kufokafoka ili kutoa elimu kwa watumiaji wa Barabara.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW