1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi waua waandamanaji Kenya

Alfred Kiti24 Mei 2016

Watu watatu wameuawa baada ya kukabiliana na polisi katika maandamano ya kupinga Tume ya Uchaguzi IEBC. Viongozi wa upinzani wamelaani mauaji hayo na muungano tawala umesema uko tayari kwa mazungumzo.

Kenia Polizeigewalt gegen Demonstranten
Picha: Getty Images/AFP/T. Karumba

[No title]

This browser does not support the audio element.

Polisi akirusha gesi ya machozi kutawanya waandamanaji NairobiPicha: Reuters/T. Mukoya
Vizuizi vya barabarani vyawaka moto Naiobi kwenye maandamano ya kupinga IEBCPicha: Getty Images/AFP/C. de Souza
Polisi wa kuzuia ghasia katika mitaa ya NairobiPicha: Reuters/T. Mukoya