1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polisi ya Belgiji yazima njama za kumtorosha kutoka gereza mshukiwa wa kundi la Al Qaeda

21 Desemba 2007

BRUSSELS:

Wakuu nchini ubelgiji wanasema wamewakata watu 14 kuhusika na njma ya kumtorosha kutoka gereza mshukiwa mmoja wa kundi la Al-Qaeda.Mshukiwa huyo alikamatwa Septemba mwaka wa 2001 kwa kufanya njama za kutaka kuishambulia Marekani.Ulinnzi mkali umeimarishwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW