1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

PRAGUE: Ujerumani imeifunga Jamhuri ya Czech

25 Machi 2007

Ujerumani imefanikiwa kusonga mbele kugombea nafasi katika mashindano ya kandanda ya Ubingwa wa Ulaya mwaka 2008 baada ya kuikandika Jamhuri ya Czech mabao 2-1 mjini Prague.Mabao yote mawili yalitiwa na Kevin Kuranyi.Timu ya Ujerumani haikushindwa katika kundi lake,baada ya michezo mitano na sasa inaongoza kwa pointi tatu katika kundi D.