1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Prinz na Zidane mabingwa wa kimataifa wa kabumbu:

15 Desemba 2003
BASEL: Mchezaji mwanamke wa kambumbu wa taifa wa Ujerumani Birgit Prinz na Mfaransa Zinedine Zidane wamechaguliwa wachezaji bora kabisa wa kabumbu wa mwaka huu, kwa kulingana na matokeo ya uchaguzi wa makocha wa taifa wa Shirika la Kimataifa la Kabumbu. Zidane anachaguliwa kwa mara ya tatu akiwapiku Thierry Henry wa Ufaransa na Ronaldo wa Brazil.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW