Puntland yasitisha uhusiano wake na serikali ya Somalia
6 Agosti 2013![Puntland eneo linalotawaliwa na Somalia](https://static.dw.com/image/3549673_800.webp)
Matangazo
Sudi Mnette amezungumza na Mbunge Hussein Bantu aliyeko Mogadishu na kwanza alitaka kujua hatua hiyo wameipokeaje? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman