1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

PYONGYANG: Wakaguzi wa IAEA wamewasili Korea ya Kaskazini

28 Julai 2007

Tume ya pili ya wakaguzi wa Shirika la Nishati ya Nyuklia la Umoja wa Mataifa,IAEA imewasili Korea ya Kaskazini.Wakaguzi hao watasimamia hatua ya kufunga mtambo wa nyuklia wa Yongbyon.Serikali ya Pyongyang imekubali kusitisha mradi wake wa nyuklia uliozusha mabishano na badala yake, inapewa misaada ya kiuchumi na kiutu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW