1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raia 2 wauawa Afghanistan katika shambulizi la kujitolea muhanga

15 Machi 2008

KABUL:

Nchini Afghanistan,raia 2 wameuawa katika shambulizi la kujitolea muhanga.Mwanajeshi mmoja wa vikosi vya madola shirika,alijeruhiwa pia.Mshambulizi alibamiza gari lake katika msafara wa magari ya kijeshi ya NATO.Shambulio hilo limetokea karibu na mji wa Shost ulio kusini mashariki mwa Afghanistan karibu na mpaka wa Pakistan.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW