1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raia 32,000 wa Sudan Kusini wakimbia ukame nchini mwao

01:54

This browser does not support the video element.

27 Februari 2017

Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR lasema raia wapatao 32,000 wa Sudan Kusini wakimbia ukame nchini mwao; Filamu ya Moonlight yashinda Filamu Bora katika tuzo za Oscar; na Vikosi vya Iraq vyazidi kusonga mbele Mosul katika mapambano na IS. Papo kwa Papo 27.02.2017

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW