1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais wa Kenya William Ruto aadhimisha miaka miwili madarakani

01:46

This browser does not support the video element.

13 Septemba 2024

William Ruto alichukua uongozi wa Kenya akiwa na matumaini makubwa. Lakini karibu miaka miwili ya utawala alijikuta katika maandamano mabaya zaidi katika historia ya nchi hiyo. Je, mambo yanaweza kuwa magumu zaidi huku utawala wake ukiangalia kufadhili nakisi ya bajeti kwa kuongeza mikopo ?

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW