Rais Nkurunziza aapishwa leo
26 Agosti 2010![](https://static.dw.com/image/5731804_800.webp)
Matangazo
Hatua hii inafanyika baada ya uchaguzi wa marais kufanyika mwezi wa Juni.Itakumbukwa kuwa wanasiasa wa upinzani waliususia uchaguzi huo war ais kwa madai kwamba vitendo vya udanganyifu na hila vilikuwa tayari vimeshaandaliwa.