1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaChina

Rais Putin akaribishwa kwa heshima ya juu Beijing

02:04

This browser does not support the video element.

20 Mei 2026

Marais wa China Xi Jinping na wa Urusi Vladimir Putin wametoa kauli zinazoashiria kuimarika kwa uhusiano wao wa kimkakati wakati wa mazungumzo ya ngazi ya juu yaliyofanyika mjini Beijing. Ziara ya Putin ya siku mbili ameifanya siku chache baada ya kumalizika kwa ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki

Zaidi kutoka kipindi hiki

Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW