1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais wa Colombia ashinda Nobel

01:51

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
7 Oktoba 2016

Rais wa Colombia, Juan Manuel Santos, ashinda tuzo ya amani ya Nobel. Kimbunga Matthew kimewasili Florida, Marekani huku kikiwa kimesababisha vifo 339 nchini Haiti. Na, Shirika linalojihusisha na kupigania maslahi ya elimu nchini Tanzania la Hakielimu, limelaani vikali kupigwa kwa mwanafunzi Sebastian Chinguku na walimu wa shule ya sekondari ya Mbeya. Papo kwa Papo 07.10.2016.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW