1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Magufuli: "Wazembe na wavivu wajiandae"

20 Novemba 2015

Rais wa Tanzania, John Magufuli, ametoa hotuba yake ya kwanza bungeni Dodoma na kuelezea mipango yake ya uongozi. Wakati huo huo upinzani unataka upatikane ufumbuzi wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar.

Rais wa Tanzania John Magufuli
Picha: DW/H. Bihoga

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW