Rais wa Uganda ahutubia Bunge
13 Desemba 2012![President Yoweri Museveni of Uganda answers questions during a news conference following graduation ceremonies at Command and General Staff College in Fort Leavenworth, Kan., Friday, June 13, 2008. Museveni was at Fort Leavenworth to watch his son graduate. (AP Photo/Orlin Wagner)](https://static.dw.com/image/15737971_800.webp)
Matangazo
Kuhusu muswaada huyo ulipitishwa wiki iliyopita rais Museveni alisema wanatumiwa na wageni kutoka nchi za nje ili kutimiza maslahi ya nchi za kigeni. kusikiliza taarifa ya Mwandishi wetu wa Kampala, Leylah Ndinda bonyeza alama ya kusikiliza masikioni hapo chini.
Mwandishi: Leylah Ndinda
Mhariri: Saumu Mwasimba