1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Yoweri Museveni wa Uganda azungumza na Waandishi wa habari mjini Kampala

23 Julai 2007

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema anaunga mkono mazungumzo yanayoendelea mjini Mogadishu,Somalia ya koo za kisomali kutafuta suluhisho la kudumu nchini humo.

Rais Yoweri Museveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni wa UgandaPicha: dpa

Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa juma mjini Kampala, rais Museveni pia alizungumzia maswala mengine muhimu.

Mwandishi wetu Omar Mutasa anaripoti kutoka Kampala.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW