1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

RAMALLAH: Mpalestina auawa na wanajeshi wa Israeli

16 Septemba 2007

Mwanamgambo wa Kipalestina ameuawa na wanajeshi wa Israeli katika uvamizi uliofanywa mapema leo asubuhi,kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi.Kijana huyo wa miaka 21 alikuwa mwanachama wa Al-Aqsa Martyrs Brigade,kundi lenye mahusiano na chama cha Fatah cha Rais wa Wapalestina,Mahmoud Abbas.