1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ramaphosa abadili baraza la mawaziri

27 Februari 2018

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametangaza baraza jipya la mawaziri linaloundwa pia na mawaziri waliokuwemo katika baraza lililolopita. Ni uteuzi wake wa kwanza tangu ashike madaraka.

Südafrika Präsident Cyril Ramaphosa im Parlament
Picha: Getty Images/AFP/R. Bosch

DW imezungumza na mmoja wa wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Afrika Kusini Isaac Khomo kutaka kujua baraza hili limepokewa vipi nchini humo katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inaandamwa na kashfa za ufisadi pamoja na kuporomoka kwa uchumi.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW