1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ramaphosa asema atakomesha machafuko Afrika Kusini

01:20

This browser does not support the video element.

16 Julai 2021

Rais Cyril Ramaphosa amesema leo kuwa hatoruhusu machafuko na ghasia kutawala nchini Afrika Kusini na kudokeza kuwa wimbi la vurugu ambazo ziliharibu mamia ya maduka na kuwauwa zaidi ya watu 100 lilichochewa makusudi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW