1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raslimali, kikwazo kwa wanariadha Uganda

01:39

This browser does not support the video element.

4 Aprili 2018

Kizazi kipya cha wanariadha wa Uganda wanafanya mazoezi ili wapate kushiriki mashindano ya kimataifa. Wakiwa wanatiwa motisha na ufanisi katika michezo ya Olimpiki ya London, wanachokosa ni raslimali na uwezeshwaji kutoka kwa serikali ila kinachowapa motisha ni dhamira yao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW