1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Riadha-Mbio za marathon za Roma

18 Machi 2007

Na hatimae riadha:

Chelimo Kemboi wa Kenya ameibuka na ushindi wa mbio za 13 za marathon za Roma hii leo akitumia saa mbili dakika 9 na sekondi 36.Amempita kwa sekondi 36 Jose Manuel Martinez wa Hispania huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na raiaq mwengine wa Kenya, Jonathan Kosegei kwa saa mbili dakika kumi na sekondi 25.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW