1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

RIYADH: Migogoro ya kidini isiruhusiwe kusambaa

4 Machi 2007

Rais Mahmoud Ahmedinejad wa Iran na Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia wamekubali kushirikiana kuzuia mgogoro unaohusika na madhehebu ya Kiislamu nchini Irak,kuenea katika maeneo mengine ya kanda hiyo.Kwa mujibu wa shirika la habari la Saudi Arabia,viongozi hao wawili walipokutana mjini Riyadh,walisisitiza pia umuhimu wa kuwepo umoja wa Wapalestina na haja ya kuhifadhi uhuru na umoja wa Irak.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW