Roboti "Da Vinci" lapandikiza mapafu kwa binadamu.
01:23
This browser does not support the video element.
Safari
17 Aprili 2023
Kwa mara ya kwanza, hospitali moja nchini Uhispania imeweza kupandikiza mapafu ya binadamu kwa kutumia mbinu ya upasuaji wa roboti aliyepewa jina la "Da Vinci". #kurunziafya