1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ROMA.Zaidi ya wahamiaji 400 wamewasili katika kisiwa cha Lampedusa

23 Oktoba 2006

Utawala nchini Italia umetoa taarifa ya kuwasili zaidi ya wahamiaji 400 kutoka Afrika katika kisiwa cha Lampedusa.

Bado uraia wa watu hao haujajulikana lakini inaaminika walianzia safari yao kutoka pwani ya Libya.

Wakati huo huo wahamiaji 29 wameokolewa kutoka pwani ya Uhispania katika visiwa vya Canary.

Utawala nchini humo umesema kuwa idadi ya wahamiaji katika pwani za nchi hiyo imeongeza maradufu katika kipindi cha mwaka mmoja.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW