1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda: Hatutamkamata Omar al Bashir

14 Julai 2016

Katika mkutano wa Umoja wa Afrika unaofanyika Kigali, Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Louise Mushikiwabo, ametangaza nchi yake haiko tayari kumkamata Rais wa Sudan atakapohudhuria kikao cha marais.

München Louise Mushikiwabo Außenministerin Ruanda
Picha: picture-alliance/dpa/T. Hase

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW