1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda kuifadhili Arsenal

28 Mei 2018

Rwanda imesaini mkataba na klabu ya soka ya Arsenal ambao unajumuisha ufadhili na kujitangaza kitalii kupitia timu ambayo pia inashabikiwa na rais wa nchi hiyo Paul Kagame. Rwanda haijasema ni kiasi gani italipa.

Arsenal
Picha: picturealliance/Citypress24/S. Bowen

J2 2805 Rwanda/Arsenal - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ni makubaliano ya miaka mitatu ambayo yataitangaza nchi hiyo kitalii kufuatia idadi kubwa ya wanyamapori inayoongezeka katika mbuga zake kuanzia faru weusi, simba, pundamilia na hata nyani wa milimani. Hata hivyo, mpango huo wa Kagame umekosolewa na wanaohisi kwamba Rwanda ina matatizo mengi yanayostahili kushughulikiwa kuliko nchi hiyo kuingia mkataba na Arsenal, huku wengine wakiifananisha hatua ya rais huyo ya kujiongezea muda madarakani kuwa sawa na Arsene Wenger aliyekuwa meneja wa klabu hiyo ya Arsenal aliyejiuzulu mwaka huu baada ya kuiongoza kilabu hiyo kwa miaka 22. DW imezungumza na mwanauchumi ambaye pia ni mwanaharakati kutoka Tanzania, Mwang'onda Gabriel.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW