1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda: Siku ya Haki za Binaadamu

10 Desemba 2014

Leo ikiwa ni siku ya kimataifa kwa ajili ya haki za binaadamu, tunaangazia hali ilivyo katika mji na wilaya ya Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

Picha: picture alliance/dpa/Michelle Shephard

Mjumbe maalumu wa rais wa nchi hiyo anafanya ziara kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ubakaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake na watoto. . John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Beni. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za maskioni hapo chini.

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri: Saumu Yusuf

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW