Rwanda: Viongozi wa dini wazungumzia usalama
26 Mei 2016![Mkutano wa wakuu wa madhehebu Kigali](https://static.dw.com/image/19285017_800.webp)
Matangazo
Viongozi hao wanaokutana mjini Kigali Rwanda wanasema viongozi wa kiroho wanakabiliwa na tatizo la kunyimwa na serikali nafasi ya mazungumo huku wanasiasa wakiwa vyanzo vya mizozo.
Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Sylivanus Karemera kutoka Kigali, Rwanda.