1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda: Viongozi wa dini wazungumzia usalama

Sylivanus Karemera26 Mei 2016

Viongozi wa dini kwenye eneo la maziwa makuu wasema ukosefu wa jukwaa la mazungumzo kati ya serikali za mataifa wasababisha kuwepo kwa visa vya mauaji na usalama mdogo kwenye nchi za maziwa makuu.

Mkutano wa wakuu wa madhehebu Kigali
Picha: DW/S. Karemera

[No title]

This browser does not support the audio element.

Viongozi hao wanaokutana mjini Kigali Rwanda wanasema viongozi wa kiroho wanakabiliwa na tatizo la kunyimwa na serikali nafasi ya mazungumo huku wanasiasa wakiwa vyanzo vya mizozo.
Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Sylivanus Karemera kutoka Kigali, Rwanda.
Picha: DW/S. Karemera
Picha: DW/S. Karemera
Picha: DW/S. Karemera
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW