1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda yapiga hatua vita dhidi ya ufisadi

Mjahida 9 Desemba 2015

Wachambuzi wanasema mafanikio ya Rwanda kwenye vita dhidi ya ufisadi yanatokana na kuwa na ushiriki wa moja wa moja wa taasisi kuu za utawala badala ya kuwa vita vya makundi ya kisiasa yenye maslahi tu ya kisiasa.

Ruanda Präsident Paul Kagame
Picha: picture-alliance/AP Photo/S. Senne

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW