1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rwanda yatumia drones kupambana na corona

03:09

This browser does not support the video element.

22 Aprili 2020

Jeshi la polisi Rwanda linatumia ndege ndogo zisizokuwa na rubani drones kwa ajili ya kuwahamasisha wananchi kuheshimu hatua za kubakia nyumbani. Tizama video yake Janvier Popote namna ndege hizo zinavofanya kazi mjini Kigali. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW