1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sababu za kupata kiungulia wakati wa mfungo

01:09

This browser does not support the video element.

12 Machi 2026

Katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhan na Kwaresma, baadhi ya watu hupata kiungulia licha ya kutokula kwa muda mrefu, kwa sababu ya mchanganyiko wa mabadiliko ya ratiba ya kula, aina ya vyakula vinavyoliwa wakati wa kufuturu, na mienendo ya mwili wakati wa njaa huathiri mfumo wa mmeng’enyo. Hali hii inaonekana zaidi kwa watu wenye historia ya kiungulia, lakini inaweza kumpata mtu yeyote.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW