1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SADC yawezesha mazungumzo DRC

12 Oktoba 2016

Ujumbe wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi tatu za tume ya kisiasa na kiusalama ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, umekutana na Rais Kabila, vyama vya siasa na mashirika ya kiraia.

Vurugu DRC
Picha: Picture-Alliance/AP Photo/J. Bompengo

Interview with Augustine Mahiga - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Saleh Mwanamilongo amefanya mahojiano na kiongozi wa ujumbe huo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Augustine Mahiga.