Sakata la madawa ya kulevya Tanzania
7 Februari 2017![Droge Methamphetamin Crystal Meth](https://static.dw.com/image/36181720_800.webp)
Matangazo
Zoezi hilo linaongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Hata hivyo, utekelezaji wake umepokelewa kwa maoni tofauti. DW imezungumza na Paul Makonda na pia na mchambuzi na mwanasheria wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Hussein Sengu, kwanza kabisa kutaka kujua maoni yale juu ya utaratibu unaotumika wa kuwakamata watu hao.