1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Salaam za Idd El Hajj

31 Oktoba 2011

Karibuni waislamu wote duniani watasherehekea sikukuu ya Idd El Hajj.

Kwenda Hija Makkah hutakiwa kutekelezwa mara moja kwa kila muislamu mwenye uwezo katika maisha yake.Picha: AP

Msikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle, katika wakati kama huu tunakukaribisha ututumie salaam zako za kusherehekea sikukuu ya Idd El Hajj kwa ndugu na marafiki kwa njia ya Email au hata facebook. Fanya hima!!

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW