1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SANAA:Ziara ya Schroeder nchini Yemen

3 Machi 2005

Kansela wa Ujerumani Gerhard Schroeder ametia saini mikataba mitatu ya kiuchumi nchini Yemen katika ziara yake ya mataifa ya ghuba.

Kansela Schroeder pia alifanya mazungumzo na rais wa Yemen Ali Abdullah Saleh mjini Sanaa.

Mapema Kansela aliwaalika viongozi wa Bahrain na Qatar kuitembelea Ujerumani ili kuzungumzia juu ya mpango wa kujenga reli itakayounganisha nchi hizo za ghuba.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW