1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Muziki

Sauti ya mwimbaji Bijou bado yasikika Bamako

02:57

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
16 Oktoba 2019

Kuwa mwanamuziki ni kazi hatari nchini Mali. Muziki umepigwa marufu kwa sababu ya misimamo mikali ya Sharia za Kiislam, pamoja na marufuku ya serikali inayozuia mikusanyiko ya watu wengi. Lakini mwanamuziki mchanga mjini Bamako amedhamiria sauti yake kusikika.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW