Seleka wataka wanajeshi wa Kigeni waondoke mara moja nchini
1 Aprili 2013Matangazo
Uganda inasema wanajeshi wake watabakia humo ili waendelee kuwasaka waasi wa Lords Resistance Army na kiongozi wa waasi hao, Joseph Kony. Mwandishi wetu wa Kampala Leylah Ndinda na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Leyla Ndinda
Mhariri: Mohammed Khelef