1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Senegal: Juhudi na kampeni za upangaji uzazi

04:16

This browser does not support the video element.

30 Oktoba 2019

Afrika maghribi ni miongoni mwa maeneo duniani yenyeo viwango vya juu vya uzazi. Senegal hutizamwa kama nuru ya matumaini katika eneo hilo kuhusiana na uzazi, kwani wanawake wengi sasa wanatumia mbinu za kupanga uzazi kuliko zamani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW