1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
HistoriaAfrika

Sengbe Pieh: Mtumwa aliyepambana kurudi nyumbani

01:59

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
10 Oktoba 2020

Sengbe Pieh, mkulima na mfanyabiashara kutoka Sierra Leone alikamtwa na kutumbukizwa kwenye utumwa 1839. Wakati akisafirishwa na wenzake kwenye meli ya Amistad kuelekea Cuba, Pieh aliongoza uasi dhidi ya waliowakamata, tukio ambalo lilizua harakati za kukomesha biashara ya utumwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW