1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali iharakishe tathmini kwa waathirika wa Hanang

02:52

This browser does not support the video element.

Deo Kaji Makomba
11 Desemba 2023

Waathirika wa maporomoko ya matope wilayani Hanang mkoani Manyara, wanasema bado wanakabiliwa na hali ngumu ya kimaisha baada ya kupoteza kila kitu. Himizo lao kwa serikali ni kuharakisha tathmini na kuwafidia waathirika wa mkasa huo.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW