1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

"Serikali isaidie vituo vya yatima wa Ukimwi"

1 Desemba 2015

Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Ukimwi, DW imezungumza na Hellen Nkunda anayeendesha kituo cha yatima Tanzania. Anasema serikali lazima itoe msaada zaidi kwa watoto waliopoteza wazazi kwa Ukimwi.

Zentralafrikanische Republik Freilassung von Kindersoldaten
Picha: Reuters/E. Braun

[No title]

This browser does not support the audio element.