1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali ya Angola inavyokabiliana na muziki wenye ukosoaji

03:54

This browser does not support the video element.

15 Agosti 2017

Mwanamuziki wa Angola MCK mara zote hujikuta akikwaruzana na serikali. Si kwa sababu ni muhuni, bali ni kutokana na mashairi yake kuikosoa serikali. Eduardo dos Santos ametawala Angola tangu mwaka 1979 na yoyote anayempinga huingia matatani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW