1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali ya Umoja wa Komoro na suala la kisiwa cha Anjouan

21 Agosti 2007

Wakati serikali ya Umoja wa Komoro inayoongozwa na Rais Ahmed Abdalla Sambi ikiwa mbioni kulitatua suala la Kisiwa cha Anjouan, raia kadhaa wa Kisiwa hicho wanaoishi katika visiwa vya Ngazija na Moheli wameunda serikali ya uhamishoni itakayowakilisha kisiwa cha Anjouan.

Kuundwa Serikali hiyo kutazidi kuleta utata mkubwa kati ya Serikali ya Umoja na utawala wa Anjouan. Serikali ya Komoro, kupitia waziri wa mambo ya kigeni, imepinga vikali kuwepo kwa Serikali hiyo.

Abdulrahman Baramia anaripoti kutoka Moroni.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW