1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SEVILLE: Mawaziri wa ulinzi wa NATO wajadili mkakati mpya

8 Februari 2007

Mawaziri wa ulinzi wa nchi zilizo katika Shirika la kujihami la magharibi NATO,hii leo wanakutana nchini Hispania,kuujadili mkakati mpya wa kijeshi kuhusu Afganistan.Washirika wa NATO wana hofu kuwa katika kipindi cha majuma yajayo,waasi wa Kitaliban wataanzisha mashambulio mapya,hali baridi ya hewa itakapoanza kubadilika.Waziri wa ulinzi wa Marekani,Robert Gates anatazamiwa kuutumia mkutano huo kuwahimiza wanachama wengine wa NATO kupeleka vikosi zaidi nchini Afghanistan ambako tayari kuna wanajeshi 33,000.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW