1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Uchumi

SGR yailetea Kenya hasara kubwa

19 Julai 2018

Kenya imepata hasara ya dola milioni moja katika kipindi cha mwaka wa kwanza tangu kuzinduliwa kwa reli ya kisasa kutoka Nairobi kwenda Mombasa, ijulikanayo kama SGR, mradi unoafadhiliwa na serikali ya China.

Kenya Madaraka Express
Picha: Reuters/Stringer

MMT-J2 19.07 Kenia SGR and the Kenyan loss - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Serikali ya China imeijenga reli hiyo kwa mkopo wa dola bilioni 3, utakaolipwa kwa kipindi cha miaka 15 ijayo. Wanauchumi wanakadiria kuwa China inaidai Kenya asilimia 70 ya deni jumla la taifa. DW imezungumza na mwanauchumi Charles Karisa, kwanza anaelezea tathimini yake ya hasara ambayo Kenya imepata kupitia mradi wa SGR.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW